• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MHE. MSOFE AFURAHISHWA NA MPANGO WA KUDHIBITI MAGENDO YA KAHAWA BUGOMORA

Imewekwa tarehe: June 4th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewapongeza Viongozi na Wananchi wa Kata ya Bugomora kwa kuweka mpango uliyoonesha tija katika kudhibiti magendo ya kahawa na kuzitaka Kata zingine kuiga mfano huo.

Amesema hayo katika ziara yake ya tarehe 3 Juni 2024 ikiwa na lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi zinazowakabili katika maisha yao na kuhitaji ufumbuzi kutoka serikalini.

Mhe. Msofe amefurahishwa na mpango uliowekwa na kamati ya maendeleo ya Kata hiyo kwa kuitisha mikutano ya wananchi na kuwaeleza juu ya udhibiti wa magendo ya kahawa, kuweka vizuizi katika barabara zote za Kata hiyo zinazoelekea mwaloni na kuazimia kwa pamoja kuwa hawatashirikiana na yeyote atakayekamatwa na wadhibiti wa kahawa akiwa anatorosha kwenda nchi jirani.

“Mdhibiti namba moja ni wewe Mwananchi, nyinyi mnafahamiana nani anavusha, nani anapeleka Chama cha Msingi, nani anavuna kahawa mbichi, nani anahusika kwenye wizi wa kahawa. Niwaombe sana ushirikiano wenu na niwashukuru sana wale ambao tumekuwa tukishirikiana nao kwa njia ya simu, kupeana taarifa ili kuweza kudhibiti utoroshaji wa kahawa nje ya nchi yetu,” Ameeleza Mhe. Msofe.

Awali akieleza mpango huo Diwani wa Kata ya Bugomora Mhe. Batinoluho Kamala amesema mpaka sasa wamekamatwa watoroshaji wanne katika Kata hiyo na wametozwa faini huku akimhakikishia Mkuu wa Wilaya kuwa wamejipanga kupambana na magendo na tayari AMCOS zao zimeanza kupokea kahawa ya msimu huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved