• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MHE. MSOFE AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI KATIKA KIJIJI CHA NYAKAKONI

Imewekwa tarehe: May 30th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewataka wananchi na viongozi wa Serikali ya Kijiji cha Nyakakoni Kata ya Rutunguru kuachana na biashara ya magendo ya kahawa na kutorosha madini ya tini kupelekwa nchi jirani.

Amesema hayo katika ziara yake leo Tarehe 30 Mei 2024 ikiwa na lengo la kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili wananchi katika maisha yao na kuhitaji ufumbuzi kutoka serikalini.

Mhe. Msofe amesema anasikitishwa na kitendo cha watu ambao wanaaminiwa na serikali kuhusishwa na tuhuma za kutorosha madini ya tini na kahawa na kuwaomba wananchi kuendelea kushirikiana na kutoa taarifa za watu wanaofanya shughuli hizo ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria.

“Niwaombe sana tuendelee kushirikiana tupeane taarifa, kwa maana ulinzi ni wa kwetu sote, mimi siwezi kukaa kila Kijiji au Kitongoji lakini kwa ushirikiano wenu nyinyi tunaweza kuilinda Kyerwa, tunaweza tukalinda mali zetu.

“Wapo watu wanaoendelea kuiba kahawa kwenye mashamba ya watu tena wanaiba kahawa zikiwa mbichi na kukata kabisa ile miche ya kahawa,  iwapo tukimkamata mtu atakuwa mfano kwa Wilaya nzima.” Ameeleza Mhe. Msofe.

Aidha kero ya maji, barabara, umeme, upungufu wa walimu, malezi na kujichukulia sharia mkononi, uvamizi wa maeneo ya serikali ya kijiji na hifadhi ni miongoni mwa kero zilizoibuliwa na wananchi na kutolewa ufafanuzi na wataalamu kutoka Halmashauri na Taasisi za Umma katika Wilaya ya Kerwa ambao waliambatana na Mkuu wa Wilaya katika ziara hiyo.

Matangazo

  • TAARIFA YA FEDHA YA MWAKA 2024/2025 August 02, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPATIWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAKIPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 31, 2025
  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved