• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Magendo Kyerwa

Imewekwa tarehe: October 15th, 2018

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kagera ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti imetembelea maeneo mbalimbali ya mto Kagera Wilayani Kyerwa ambayo yanatumika katika biashara ya Magendo ya Kahawa na bidhaa nyingine. Katika Ziara hiyo Wilayani Kyerwa Kamati hiyo iliambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Rashid M. Mwaimu. Aidha katika Ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amefanya vikao vya ndani na viongozi na pia Mikutano na wananchi wa vijiji vya Kijumbura na Rwabikagate. Katika Ziara hiyo alitoa pia fursa kwa wananchi kueleza changamoto na sababu zinapelekea biashara hiyo kushamiri katika maeneo yao. Mkuu huyo wa Mkoa ameendelea kueleza nia ya Serikali ya Awamu ya tano katika kuwahudumia wananchi na kuwaasa kukomesha biashara hiyo isiyokubalika "Hakuna sababu yoyote inayoweza kufanya kukubalika kwa biashara hiyo haramu kwa namna yoyote ile, Nitaendelea kuchukua hatua kali kwa wale wote wanaojihusisha na biashara ya Magendo" alisema Mkuu huyo wa Mkoa kwa msisitizo. 

Mkuu wa Mkoa alihitimisha Ziara yake hiyo maalumu kwa kuagiza wale wote wanajihusisha na biashara ya Magendo kuchukuliwa hatua kali za kisheria na kuagiza uongozi wa Wilaya kuendelea kutoa msaada pale inapohitajika kwa viongozi wanaopambana na biashara ya Magendo ya Kahawa kwenda nchi jirani. Aidha ameagiza kuwa kama kuna wafanya biashara wanaonunua Kahawa kwa bei ya kuridhisha nchi jirani ya Uganda wafike katika mamlaka husika ili wafuate taratibu zinazotakiwa waweze kununua Kahawa hiyo kwa utaratibu unaotakiwa kuliko kuendelea kufanya kwa njia zisizokubalika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved