• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MABINTI 38,009 KUPATIWA CHANJO DHIDI YA UGONJWA WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI WILAYANI KYERWA

Imewekwa tarehe: April 19th, 2024

Wilaya ya Kyerwa inatarajia kushiriki zoezi la kampeni ya utoaji chanjo dhidi ya ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi kwa watoto wa kike kuanzia miaka Tisa hadi kumi na nne wapatao 38,009 kwa lengo la kuwakinga na ugonjwa huo hatarishi kwenye jamii.


Hayo yamebainishwa katika kikao cha kamati ya afya ya msingi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa kwa kujumuisha Kamati ya Ulinzi na Usalama, Wataalamu wa Idara ya afya na Halmashauri, Viongozi wa Dini na baadhi ya wadau wa maendeleo.


Mwenyekiti wa kamati hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe baada ya kupokea taarifa ya kampeini ya utoaji chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi  amewataka wajumbe wa kamati hiyo kuhakikisha wanakuwa mabalozi wazuri katika jamii na kuwataka Viongozi wa Dini kutumia miskiti na makanisa kueleza umuhimu wa chanjo hiyo ambayo Haina madhara yoyote bali inaokoa nguvu kazi ya taifa.


Mkuu wa Wilaya amesisitiza kuwa afya ni muhimu kuliko vitu vingine hivyo wazazi, na jamii nzima inapatiwa elimu naihakikishe mabinti zao wanapatiwa chanjo ili waelewe lengo la serikali kuwa ni zuri kwa jamii.

Awali akielezea mpango wa Kampeni hiyo  Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Lewanga Msafiri amesema chanjo hiyo kupitia maalumu itaanza kufanyika Tar. 22-26 Aprili 2024 na itakuwa endelevu Huku akibainisha madhara ya ugonjwa huo ambao unaathiri watu wa rika zote licha ya kuwashambulia zaidi wanawake wa kuanzia umri wa miaka 34 adi 45 ambapo dalili kubwa ni kutoka uchafu ukeni na wenye harufu.


Sambamba na hayo amesema zipo timu za wataalamu zitakazopita maeneo ya jamii zikiwemo shule na kwenye vituo vya afya ambapo chanjo itatolewa kwa mabinti hao na baada ya tr 26 zoezi litakuwa endelevu na litakuwa linatolewa katika Vituo vya Afya mpaka mwishoni mwa mwaka huu na ifikapo Januari 2025 itaanza kutolewa kwa mabinti wa miaka tisa tu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved