• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAZEE DUNIANI WILAYA YA KYERWA

Imewekwa tarehe: September 28th, 2023

Leo Tar. 28 Septemba 2023 Wazee wa Wilaya ya Kyerwa wameadhimisha Siku ya Wazee Duniani katika Kata ya Nyakatuntu na kutoa matamko kadhaa kwa serikali na jamii yakiwemo ya mmomonyoko wa maadili, wazee kunyang’anywa mali zao, kunyanyaswa kijinsia na mauaji ya vikongwe.

Wazee hao pia wameishauri serikali kujenga Nyumba ya Makumbusho ambayo itatumika kutunza zana na utamaduni wa Wanakyerwa kwa ajili ya vizazi vijavyo na hata kuvutia watalii katika Wilaya ya Kyerwa.

Akitoa hotuba yake MKuu wa Wilaya ya Kyerwa iliyosomwa na Katibu Tarafa wa Tarafa ya Mabira Bw. Mussa Jumanne amesema serikali itahakikisha inawalinda na kuwathamini Wazee na kushughulikia changamoto mbalimbali zinazowakabili zikiwemo za matibabu.

“Tutahakikisha yeyote atakayebainika kumnyanyasa Mzee tunashughulika naye. Hatuwezi kupoteza watu kwa sababu ya ushirikina. Wazee wananyang’anywa ardhi. Mzee bado yuko hai kijana anataka apewe urithi! Ukiona unataka ardhi nenda katafute sehemu nyingine na sio kuwanyang’anya Wazee.” Amesema Bw. Jumanne.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Msafiri Lewanga ambaye pia alimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amewataka wazee kupima afya zao mara kwa mara kwani wao ni rahisi kushambuliwa na maradhi mbalimbali na wakibainika wapatiwe matibabu ili kulinda afya zao.

Maadhimisho ya siku ya Wazee Duniani hufanyika kila mwaka na kilele chake huwa ni Oktoba Mosi yakiwa na lengo la kuelimisha jamii juu ya haki stahiki zinazohitajika kutolewa kwa wazee wote Duniani. Kauli mbiu ya Mwaka 2023 ni “Uthabiti wa Wazee Kwenye Dunia yenye Mabadiliko”

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved