• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

Imewekwa tarehe: June 17th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Hajjat Fatma Mwassa ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa kwa kupata hati safi kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Amesema hayo katika mkutano maalumu wa baraza la madiwani la kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa leo  Juni 17, 2025.

"Nichukue nafasi hii kuwapongeza sana kwa kupata hati safi katika ukaguzi wa hesabu za serikali katika mwaka wa fefha 2023/24, hongereni sana."amesema Mhe. Hajjat Mwassa.

Vile vile Mkuu wa Mkoa ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa kwa kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato katika mwaka wa fedha wa 2024/2025 ambapo Halmashauri imekusanya bilioni 6.9 sawa na 112%  ya lengo la Mwaka ambalo ni lilikiwa bilioni 6.1.

"Natambua kwamba mapato haya kwa kiasi kikubwa yameongezeka kutokana na ongezeko la bei ya kahawa, sasa basi kama ndivyo ilivyo nasi tuongeze uzalishaji wa kahawa ili tuendelee kufanya vizuri.

"Lakini pia tuongeze udhibiti wa utoroshaji wa kahawa, mwaka jana kulikuwa na kelele nyingi sana na sisi  tukaziba masikio ... lakini matokeo yake ndio haya mmeyaona wenyewe. Tunapodhibiti mapato haya, kodi inabaki kwetu na ndio zinazorudi katika miradi ya maendeleo." Ameeleza Mhe. Mwassa.

Aidha Mhe. Hajjat Mwassa amewataka Wataalamu wa Halmashauri kuzingatia matumizi ya mfumo wa ukusanyaji mapato, TAUSI, mfumo wa udhibiti wa manunuzi NeST  na kuhakikisha hoja zote zinazotokana na mifumo hiyo pamoja na hoja zote zinashughulikiwa na kufungwa kwani ndoto yake ni kuongoza mkoa usio na hoja.

Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa ilikuwa na hoja 28 ambapo 12 za mwaka 2023/2024, sita zimetekelezwa na kufungwa huku zingine zikiwa katika hatua mbalimbali za utekelezaji na hoja za nyuma zilikuwa 16 ambapo nne zimetekelezwa na kufungwa na 12 ziko katika hatua mbalimbali za utekelezaji.








Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved