• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KYERWA YAENDESHA MAFUNZO YA MFUMO WA UTAMBUZI, USAJILI NA UTOAJI VITAMBULISHO KWA ‘MACHINGA’

Imewekwa tarehe: March 15th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico leo Tar. 15 Machi 2024 amezindua mafunzo ya mfumo wa uwezeshaji wataalam kutambua, kusajili na kutoa vitambulisho vya wafanyabiashara ndogo ndogo nchini ambayo yamefanyika katika ukumbi wa Hospitali ya Wilaya ya Kyerwa.

 Zoezi la kutoa mafunzo hayo limewahusisha Watendaji wa Kata zote 24 za Wilaya ya Kyerwa, Maafisa Maendeleo ya Jamii, Viongozi wa Wafanyabiashara ndogo ndogo pamoja na Viongozi wa Bodaboda  wa Wilaya ya Kyerwa yakiwa yamelenga kuwajengea uwezo wa kutekeleza jukumu hili kwa ufanisi katika maeneo yao.

Akizungumza na washiriki hao Mhe. Henerico amewataka washiriki hao kutambua jukumu lililoko mbele yao kuwa ni kwenda kusimamia na kutekeleza zoezi kwa wafanyabiashara ndogo ndogo katika Kata zao na kufanikisha zoezi hilo ipasavyo kwani linategemea juhudi zeo.

“Kwenye zoezi hili nyinyi ndiyo timu ya ushindi na Serikali inawatazama kwa jicho la kipekee katika kuleta mageuzi yatakayowezesha wafanyabiashara ndogo ndogo wote kwenye Halmashauri yetu kutambuliwa, kusajiliwa na kupatiwa vitambulisho vya kidigitali ili waweze kupata fursa mbalimbali za kiuchumi.” Ameeleza Mhe. Henerico.

Kwa upande wake Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Bw. Methew Rufunjo ameeleza umuhimu wa zoezi la kuwatambua, kuwasajili na kutoa vitambulisho vya kidigitali kwa wafanyabiashara ndogo ndogo na kuingizwa katika kanzi data ya pamoja na kufungua fursa mbalimbali ikiwemo kupata mikopo yenye masharti nafuu.

Mafunzo hayo yamefanyika kwa siku moja  kwa wataalam hao na baada ya hapo watatakakiwa kuanza zoezi la kuwatambua na  kuwasajili wafanyabiashara katika maeneo yao.  

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved