• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KAMATI YA “FUM” YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI

Imewekwa tarehe: November 2nd, 2017

Kamati ya Fedha,Uongozi,na Mipango (FUM) ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa haijaridhishwa na kasi ya ujenzi wa jengo la ofisi za Halmashauri.Hayo yalibainika wakati kamati hii ilipofanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri mnamo tarehe 26 Oktoba,2017.Baadhi ya mapungufu yaliyobainika ni kuwa mkandarasi amechelewa sana kuanza ujenzi,pia kasi ya ujenzi inaonekana kuwa ndogo kwa ni vitendea kazi vilivyopo eneo la mradi haviendani na ukubwa wa mradi.

Mradi huu ambao unagharimu kiasi cha  shilingi 750,000,000 kwa awamu ya kwanza ikiwa ni kujenga msingi,na ghorofa ya chini(Ground floor).Mpaka kukamilika mradi huu unatarajiwa kutumia kiasi cha takribani shilingi bilioni tatu na ushee,ikiwa na ghorofa tatu za jengo la utawala na ukumbi wa mikutano.

Aidha,katika ziara hiyo kamati pia ilitembelea ukarabati na upanuzi wa mradi wa maji Kagenyi na Rukulaijo wenye gharama ya Tsh.127,008,081 unaofadhiliwa na WSDP,mradi wa maji Iteera  wenye gharama ya Tsh.837,538,000 unaofadhiliwa na WSDP,mradi wa kuezeka vyumba  2  vya madarasa na ofisi ya walimu shule ya msingi Rwanyango wenye gharama ya Tsh. 23,700,000 unaofadhiliwa na CDCF na CDG,ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa shule ya sekondari Mabira wenye thamani ya Tsh 60,000,000 unaofadhiliwa na P4R na CDG,kurudisha na kukarabati miundombinu iliyoaribiwa na tetemeko la ardhi shule ya msingi Ileega yenye gharama ya Tsh.111,202,000 unaofadhiliwa na Mfuko wa Maafa,kurudisha na kukarabati miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi shule ya msingi Nyamilima yenye gharama ya Tsh. 60,000,000 unaofadhiliwa na Mfuko wa Maafa,Ujenzi wa zahanati ya Rwele yenye gharama ya Tsh.125,345,330 unaofadhiliwa na Mfuko wa Maafa,ujenzi wa mradi wa kusambaza maji Rwenkorongo/Rubwera Tsh. 234,218,003 unaofadhiliwa na WSDP,ujenzi wa ofisi ya kata Kaisho wenye gharama ya Tsh. 18,000,000 unaofadhiliwa na CDG,mradi wa ukarabati na upanuzi wa mradi wa maji Kaisho/Isingiro/Rutunguru wenye thamani ya Tsh.649,345,866 unaofadhiliwa na WSDP,mradi wa ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Rutunguru wenye gharama ya Tsh.5,850,000 unaofadhiliwa na Mfuko wa Jimbo(CDCF),ujenzi wa ofisi ya kata Murongo Tsh.17,343,375 unaofadhiliwa na CDG,ujenzi wa ofisi ya kijiji Murongo Tsh.28,927,000 unaofadhiliwa na Fidia ya mradi wa umeme-Murongo,ujenzi wa vyumba 3 vya maabara shule ya sekondari Murongo Tsh.18,000,000 unaofadhiliwa na CDG,na ukamilishaji wa ujenzi wa mradi wa maji mtiririko unaotumia nishati ya diseli wenye thamani ya Tsh.1,226,827,965 unaofadhiliwa na WSDP.


Matangazo

  • TAARIFA YA FEDHA YA MWAKA 2024/2025 August 02, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPATIWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAKIPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 31, 2025
  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved