• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa tarehe: August 15th, 2024

Kamati ya fedha na uongozi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Bahati Henerico imefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo katika Kata za Rukuraijo, Kikukuru na Nkwenda.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na kitalu cha kuotesha Miche ya Kahawa chenye miche 1,600,000 ambao unamilikiwa na Ndg. Singsibert Kashunju kwa ufadhili wa Bodi ya Kahawa (TCB) chini ya usimalizi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa. Ukugauzi wa eneo la ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Rwere ambayo itaanza kujengwa kwa nguvu za wananchi hadi kufikia sasa wamekusanya mawe, michanga na kuchanga fedha taslimu Tsh.23,470,000/= na wanatarajia kuanza ujenzi muda wowote.


Kutembelea ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa vyenye thamani ya Tsh.75,000,000/= katika shule ya Sekondari Mukire ambayo yamekamilika kwa asilimia mia, pamoja na kuwapongeza Walimu wa shule hiyo kwa ufaulu bora wa matokeo ya kidato cha sita ambao wanafunzi wote walipata daraja la kwanza na shule hiyo kuwa ya kwanza kiwilaya na ya 35 kitaifa. Pia Kamati imekagua ujenzi wa vyumba 10 vya maduka katika stendi ya Nkwenda ambao uko katika hatua ya umaliziaji.


Kamati imeridhishwa na utekelezaji wa miradi yote ambayo imeitembelea na kuikagua huku ikitoa maelekezo mbalimbali kwa kila mradi ili kuleta tija kwa umma na kuzidi kusisitiza uadilifu katika matumizi ya fedha za serikali kwa miradi inayoendelea na kuwataka wataalam kukamilisha miradi hiyo kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved