• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa tarehe: May 8th, 2024

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo kwa kipindi cha Robo ya tatu ya mwaka 2023/2024.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Bahati Henerico akiambatana na Wajumbe wa kamati hiyo pamoja na Wataalam kutoka Halimashauri ya Wilaya ya Kyerwa wametembelea na kukagua miradi sita ya sekta ya elimu, afya, Biashara na mifugo.

Katika miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Shule Mpya ya Sekondari ya Bugara Millennium iliyopo Kata Bugara iliyogharimu kiasi Tsh 558,145,130.50 fedha kutoka Serikali Kuu (SEQUIP) ambayo tayari imepokea wanafunzi na mradi umeanza kutoa huduma kwa jamii.

Aidha kamati ilitembelea ujenzi wa Zahanati ya Businde ambayo ilipokea Tsh 50,000,000 toka Serikali Kuu kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati hiyo iliyoanza kujengwa kwa nguvu za wananchi toka 2021, ambao walishachanga na kutumia Tsh 47,000,000 na mradi uko katika hatua ya umaliziaji.

Vilevile kamati ilitembelea ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika Zahanati ya Nyamiaga Kata ya Bugomora ambayo ilipokea fedha kiasi cha Tsh 80,000,000/= kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya ujenzi wa kisima cha maji, vyoo, mnara wa tanki, kichomea taka, na kinawia mikono ambayo ujenzi umefikia hatua ya umaliziaji.

Katika Kata hiyo, Kamati pia ilitembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa na matundu nane ya vyoo katika shule ya Serondari ya Lut. Gen. Silas Mayunga wenye thamani ya Tsh 114,400,000/= ambapo mradi uko katika hatua ya umaliziaji.

Miradi mingine ni soko la ndizi la Murongo ambapo kamati ilitembelea na kujionea hali ya biashara na usafi wa mazingira katika soko hilo ambalo linasimamiwa na Serikali ya Kijiji na kuwataka watendaji   kuimarisha usafi katika eneo hilo na pia Ujenzi wa Machinjio ya Isingiro uliogharimu Tsh 16,000,000/= uliojengwa kwa mapato ya ndani.

Mwenyekiti wa Halmashauri kwa niaba ya kamati aliishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo na kuhimiza ukamilishaji wa miradi kwa wakati huku akiwataka wasimamizi kubana matumizi na kuhakikisha miradi yote inakamilika na kuendelea kutoa huduma kwa wananchi.    

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved