• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

DED KYERWA AFANYA KIKAO NA WATUMISHI

Imewekwa tarehe: September 26th, 2023

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa leo tar. 26 Septemba 2023 wamefanya kikao kazi chenye lengo la kujadili na kutafutia ufumbuzi kero mbalimbali zinawakabili wafanyakazi katika mazingira yao, ili kuboresha na kuleta ufanisi katika utendaji kazi.

Akiongoza kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa SACF. James John amewasisitiza watumishi wote kufanya kazi kwa bidii na kila mmoja kuonyesha uwezo wake katika kutekeleza majukumu yake.

“Ninaamini kila mmoja anaweza kufanyakazi, kila mmoja afanye kazi yake ambavyo anaweza kuifaya kadri ya uwezo wake, tutimize majukumu yetu.” amesema Mkurugenzi.

Aidha amewataka watumishi kutunza siri za ofisi, kuheshimu nyaraka za serikali na kufuata taratibu na sheria zilizowekwa kuwaongoza watumishi wa umma ili waweza kufanya kazi kwa uadilifu na uwajibikaji.

Vile vile amewasihi watumishi kuwa na upendo na umoja ambao utajenga timu ambayo itaweza kufanya kazi kwa bidii na kwa moyo mmoja.

Kwa upande wa watumishi walipata nafasi ya kuuliza maswali mbalimbali ikiwemo ya madeni yao, kufanya kazi katika masaa ya ziada na siku za mapumziko, uhaba wa usafiri na kupatiwa majibu na ufafanunuzi wa maswali yao.

Aidha wengine wametoa maoni na ushauri wa namna ya kuboresha utendaji kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa na kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa uongozi wake uliopelekea  halmashauri kupata tuzo ya utendaji wa kazi na kutoa huduma kwa wananchi kwa mwaka 2022/2023 katika Mkoa wa Kagera.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved