• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

DAS KYERWA: TUHAKIKISHE WATOTO WANACHANJWA

Imewekwa tarehe: October 25th, 2023

Kamati ya Elimu ya Afya ya Msingi imefanya kikao chake leo tarehe 25 Oktoba 2023, kwa ajili ya kujadili mpango wa kampeni ya kitaifa ya utoaji wa chanjo ya matone ya Polio awamu ya pili itakayotolewa kwa watoto wa umri chini ya miaka nane kuanzia tarehe 2 hadi 5 Novemba mwaka huu

Akiongoza kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Katibu Tawala wa Wilaya Bw. Mussa Gumbo ametoa wito kwa jamii kushiriki ipasavyo katika kuhakikisha watoto wao wenye umri chini ya miaka nane wanapatiwa chanjo hiyo.

Aidha imeishukuru jamii ya Kyerwa kwa kushiriki kikamilifu katika chanjo ya awamu ya kwanza kwa kusema, “Niendelee kuwashukuru sana wazazi, niendelee kuishukuru jamii ya Kyerwa kwa kujitokeza kwenye ile awamu ya kwanza mpaka kufikia lengo. Hii inaonekana ni namna gani Watanzania na Wanakyerwa tunaufahamu mkubwa kuhusiana na maswala mbalimbali ikiwemo maswala ya afya.”

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amewasihi wahusika kuwa waadilifu na kushirikiana kikamilifu ili kufanikisha zoezi hilo ikiwa ni pamoja na kutumia nyumba za ibada na kuwashirikisha Watendaji wa Kata na Vijiji kwani wao wanaijua jamii na wanaweza kusaidia katika kuihamasisha ishiriki kikamilifu.  

Awali akitoa taarifa ya chanjo awamu ya kwanza iliyofanyika mwezi Septemba mwaka huu na taarifa ya maandalizi ya kampeni ya Dkt. Shafii Mzirai amesema kampeni ya awali walipata mafanikio makubwa kwa kuchanja watoto 122,760 sawa na asilimia 128% Zaidi ya lengo ambalo walijiwekea la kuchanja watoto 95,454 katika Wilaya ya Kyerwa.

Dkt. Shafii amesema kamati imejipanga kwa kuanza kutoa matangazo mbalimbili pamoja na kuunda timu ya watu 849 ambao watashiriki katika zoezi la utoaji chanjo na tayari wamepokea fedha kiasi cha shilingi 179,975,000 ambazo zimetolewa na serikali kuu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved