• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

CCM KYERWA; YAPOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI

Imewekwa tarehe: July 17th, 2023

Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kyerwa leo tar. 17 Julai 2023 imepokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020/2025 kwa kipindi cha Januari hadi Juni, mwaka huu katika ukumbi wa CCM Wilayani Kyerwa.

Akiwasilisha taarifa hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amesema anaishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa katika wilaya ya Kyerwa.

Mhe. Msofe amesema, “Miradi ya ujenzi wa miundombinu kama inavyoelekezwa na serikali kupitia idara na vitengo mbalimbali za elimu (sekondari na msingi), afya, kilimo, mifugo na uvuvi, utumishi na utawala, uwezeshaji wa wananchi kiuchumi, tehama, maji, umeme na barabara.”

Aliongeza kwa kusema kuwa mapungufu yaliyojitokeza katika utekelezaji wa ilani ya chama katika baadhi ya miradi yamepokelewa na yatafanyiwa kazi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Wilaya Kyerwa Mhe. Daniel Damiani amesema wameridhishwa na utekelezaji wa miradi na kumpongeza mkuu wa wilaya, mkurugenzi mtendaji, mwenyekiti wa halmashauri pamoja na wataalam wa halmashauri ya wilaya ya Kyerwa na kuahidi kuendelea kushirikiana nao katika kuendelea kuijenga wilaya.

“Kazi nzuri imefanyika, mapungufu ni ya kibinadamu, tunawapenda watumishi wa wilaya na tutatoa ushirikiano. Na nawaagiza vingozi wa kata CCM washiriki katika kusimamia miradi na kama kunachangamoto zifikishwe ofisini mapema.” 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved