• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Bilioni 1.2 zajenga vituo 2, na Zahanati 2 Kyerwa

Imewekwa tarehe: January 9th, 2023

Wilaya ya Kyerwa kwa kipindi cha mwezi Disemba, 2022 mpaka Januari, 2023 imezindua vituo 4 vya kutolea huduma za Afya Wilayani  hapa vilivyogharimu kiasi cha shilingi 1,224,685,000. Vituo hivi ni kituo cha Afya Rutunguru,Mabira, Zahanati ya Iteera, na Zahanati ya Rwabwere.

Miradi hii imetekelezwa kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato iliwa ni  pamoja na fedha za Tozo ya Miala ya simu (Serikali kuu), Fedha za Mfuko wa Jimbo, Halmashauri kupitia Mapato ya Ndani, na Nguvu za Wananchi.

Zahanati ya Chanya imejengwa na kuzinduliwa  mnamo tarehe 13 Disemba, 2022 ikiwa itahudumia wakazi  zaidi ya 5000 wa kijiji cha Chanya na maeneo jirani. Mradi huu umegharimu kiasi cha shilingi 112,440,000.Zahanati hii ilianza kujengwa mwaka 2008 kupitia michango ya wananchi na baadae Serikali iliwaunga nguvu wananchi.


Zahanati ya Iteera nayo imezinduliwa tarehe 13 Disemba, 2022 ikiwa imetumia jumla ya kiasi cha shilingi 112,245,000 ikiwa imelenga kuwahudumia jumla ya wakazi 6000 wa kijiji cha Chanya na maeneo jirani.Aidha, Zahanati hii ilianza kujengwa kuanzia mwaka 2019.

Kituo cha Afya Rutunguru kimezinduliwa tarehe 30 Disemba, 2022 na kimegharimu kiasi cha shilingi 500,000,000 fedha za tozo kutoka Serikali kuu.Kituo hiki kilianza kujengwa kuanzia oktoba, 2021  na kinatarajiwa kuwahudumia jumla ya wakazi 20,000 kutoka kata za Rutunguru na vijiji jirani.

Aidha, kituo cha Afya cha Mabira kimezinduliwa mnamo tarehe 4 Januari, 2023 kikilenga kuwahudumia wakazi wa Mabira na kata jirani wapatao 30,000.Kituo hiki kilianza kujengwa mnamo Disemba, 2021 na kimegharimu kiasi cha shilingi 500,000,000 fedha kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri.

Akizindua miradi hii kwa nyakati tofauti tofauti, Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Mheshimiwa Rashid  Mwaimu alimshukuru Mheshimiwa Rais, Dokta Samia Suluhu Hasan kwa kuendelea kuleta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo Wilayani Kyerwa, na kuwasihi watumishi kufuata maadili katika kuhudumia jamii. Aidha, aliusisitiza uongozi wa Halmashauri kuhakikisha madawa na vifaa tiba vinapatikana katika vituo vya Afya ili kuondoa kero wananchi kwenda kutafuta dawa katika vituo binafsi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved