• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Baraza la madiwani Kyerwa lapitisha makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ya jumla ya Tsh 30,248,943,791.77

Imewekwa tarehe: January 21st, 2019

Waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa, kwa pamoja wamepitisha makadirio ya bajeti kwa mwaka wa  fedha 2019/2020 jumla ya kiasi cha shilingi 30,248,943,791.77

Katika kikao hicho kilichofanyika tarehe 20 Januari, 2019 katika ukumbi wa E.L.C.T Kyerwa,Mwenyekiti wa Halmashauri (diwani wa kata ya Rukulaijo) mheshimiwa Singsbert Kashunju aliwashukuru mashirika na taasisi binafsi kwa ushirikiano wao na Halmashauri katika kuchangia utekelezaji miradi  mbalimbali ya maendeleo.

Aidha,naye Mgeni rasmi katika kikao hicho Mheshimiwa Rashid M.Mwaimu  ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa,kwa niaba ya Serikali aliwasisitiza waheshimiwa madiwani kuwahamasisha wananchi katika maeneo yao kushiriki katika kuchangia utekelezaji wa bajeti .

Akiwasilisha makadirio ya bajeti kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji,Afisa Mipango ,ndugu Innocent Maduhu alifafanua mchanganuo huo kuwa kiasi cha Tsh.16,954,701,599.00 kimetengwa kwa ajili ya mishahara ya watumishi, Tsh 2,043,090,500.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida(OC),Tsh 567,796,200 kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za Mitaa kwa  mwaka 2019,Tsh 2,571,302,540.72 kwa ajili miradi ya maendeleo,Tsh 4,547,344,000.00 fedha toka wadau wa maendeleo,Tsh 2,406,208,952.00 fedha ya matumizi kwa mapato ya ndani,Tsh 605,000,000.00 fedha zitokanazo na michango ya Wananchi,Tsh 231,500,000.00 fedha  zitokanazo na makusanyo ya CHF,Tsh 52,000,000.00 fedha zitokanazo na NHIF,na Tsh 270,000,000 fedha zitokanazo na malipo ya papo kwa papo.

Baraza la madiwani ,kwa pamoja baada ya majadiliano ya kina limeidhinisha jumla ya shilingi 30,248,943,791.77 kwa ajili ya utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved