• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Uvuvi

Sekta ya uvuvi ni mojawapo ya sekta muhimu inayowapatia kipato, lishe pamoja na ajira wananchi wa wilaya ya Kyerwa.

Ukusanyaji wa takwimu za Uvunaji wa mazao ya Uvuvi.
Shughuli za Uvunaji wa mazao ya Uvuvi katika Wilaya ya Kyerwa zinafanyika katika maziwa madogomadogo 7 (Sattelite lakes), mabwawa,matingatinga (wetlands) pamoja na mto Kagera. Samaki wanaovuliwa ni Sato (Tilapia), Kamongo (Lungfish) na Kambare (Catfish).Uvuvi unaofanyika ni endelevu ili kuwa na faida kwa kizazi kilichopo na vizazi vijavyo. Inakadiriwa takribani tani 82.8 za samaki zilivuliwa kwa mwaka 2014/2015 na 22.1. kwa mwaka 2015/2016 (Julai-Desemba)

Ufugaji wa samaki.
Ili kukabiliana na tatizo la ukosefu wa lishe hasa Protini, Kipato duni na ukosefu wa ajira, baadhi ya Wananchi wilayani wanajishughulisha na ufugaji wa Samaki katika Mabwawa ya kuchimba ambayo yameongezeka toka 42 mwaka 2014/2015 hadi 48 mwaka 2015/2016. Aidha ili kukabiliana na uvuvi haramu doria za mara kwa mara zinafanyika.

Udhibiti wa uvuvi haramu.
Ili kukabiliana uvuvi haramu doria za mara kwa mara zinafanyika.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUPANGISHA VISIWA VYA OMWIZINGA (NYAKAZINGA NA IZINGA) NA FORONGO August 26, 2023
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA MJI WA BIASHARA NKWENDA MAENEO YA STENDI MPYA YA MAGARI September 19, 2023
  • Kuitwa kwenye usahili nafasi za Udereva Daraja la II utakaofanyika kuanzia tarehe 20/11/2022 mpaka tarehe 21/11/2022 November 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USALI June 23, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WAZIRI MKUU AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VIONGOZI WA MKOA WA KAGERA

    September 22, 2023
  • DC MSOFE: TUACHANE NA DHANA POTOFU JUU YA CHANJO

    September 15, 2023
  • DKT. RWEZIMULA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA VETA KYERWA

    September 14, 2023
  • DED KYERWA APOKEA VIFAA VYA MICHEZO

    September 09, 2023
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved