• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

TASAF

Start Date: 2015-01-09
End Date: 2020-12-31

Mradi wa TASAF awamu ya Tatu - Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Halmashauri ya Kyerwa ulizinduliwa rasmi mnamo tarehe 09 Januari, 2015 na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mheshimiwa Luteni Kanali Kitenga baada  ya kufanyika semina iliyoandaliwa na wawezeshaji wa TASAF iliyokutanisha wadau mbalimbali katika Wilaya.

Lengo la mradi  huu ni kuziwezesha  kaya maskini kupata mahitaji ya msingi na fursa za kujiongezea kipato.Walengwa wa mpango ni kaya maskini katika jamii kwenye Wilaya ya Kyerwa.

Walengwa wa mpango wanavyopatikana

Walengwa wa Mpango huu wanapatikana kupitia utaratibu ufuatao:

  1. Maeneo ya utukelezaji yatachaguliwa kutokana na takwimu za viwango vya umaskini katika maeneo yote Wilayani na kupewa fedha za utekelezaji.
  2. Jamii katika maeneo husika zitachagua kaya maskini sana ambazo zinakidhi vigezo vya kusaidiwa kwa njia ya kitaalam inayoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta utapitia na kuchuja majina ya walengwa walioorodheshwa ili kubaki na wale tu wenye sifa za kuwa kwenye mpango.
  3. Majina ya walengwa watakaopatikana kupitia mfumo wa kompyuta yatafanyiwa uhakiki wa mwisho na jamii husika ili kupata walengwa wanaostahili kuwepo kwenye mpango chini ya usimamizi wa Halmashauri za Vijiji.

Maeneo yanayotiliwa Mkazo                       
 TASAF awamu ya Tatu-Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Zilizo Katika Mazingira Hatarishi unatilia mkazo maeneo makuu yafuatayo:

  1. Kunusuru kaya maskini kwa kuzipatia fedha ambazo zitasaidia kwenye uzalishaji mali ili wapate manufaa ya muda mrefu.
  2. Kutoa ajira ya muda mfupi kwa walengwa wenye uwezo wa kufanya kazi kutoka kwenye kaya maskini na kuzipatia stadi mbali mbali.
  3. Kukuza na kuchochea utamaduni wa kaya maskini kujiwekea akiba na kuzipa elimu juu ya masuala ya fedha na uendeshaji wa biashara ndogo ndogo.
  4. Kuwezesha jamii maskini kujenga/kuboresha miundombinu ya maji,elimu,na afya katika maeneo ambayo hayana huduma hizi ili walengwa wapate kutumia huduma hizi ikiwa kigezo cha kutimiza masharti ya Mpango.
  5. Mpango utasisitiza ushiriki wa Walengwa ili watoke kwenye Mpango wakiwa na uwezo wa kujikimu,kupata chakula na kujikita katika shughuli za uzalishaji na kuwekeza.

Sehemu za Mpango
TASAF awamu ya Tatu-Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Zilizo katika Mazingira Hatarishi una sehemu kuu nne.Sehemu hizo ni:

  1. Kunusuru kaya maskini na zilizo katika mazingira hatarishi.
  2. Kuinua hali ya maisha na kuongeza kipato.
  3. Ujenzi wa miundombinu katika maeneo maalum.
  4. Kujenga Uwezo.

                     



Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KYERWA December 14, 2022
  • Kuitwa kwenye usahili nafasi za Udereva Daraja la II utakaofanyika kuanzia tarehe 20/11/2022 mpaka tarehe 21/11/2022 November 14, 2022
  • Tangazo la Nafasi ya Udereva TGS B Nafasi 02 -Limerudiwa Mwisho tarehe 18/08/2022 August 11, 2022
  • Mlipuko wa ugonjwa wa kichaa cha Mbwa May 17, 2018
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • Bilioni 1.2 zajenga vituo 2, na Zahanati 2 Kyerwa

    January 09, 2023
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru Wilayani Kyerwa

    October 06, 2022
  • "Hatutalala,hatutapumzika kuhakikisha ugonjwa wa Ebola hauingii Nchini " Waziri Ummy Mwalimu

    October 05, 2022
  • Mkurugenzi akerwa na uvamizi wa maeneo ya vituo vya wakulima

    September 26, 2022
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved