• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MADIWANI WACHOSHWA NA KERO YA MAJI KYERWA

Imewekwa tarehe: November 10th, 2023

Mkutano wa baraza la Madiwani kwa robo ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 katika Halmshauri ya wilaya ya Kyerwa umefanyika leo tar. 10 Novemba 2023 katika ukumbi wa Rweru Plaza ulioko katika Wilaya ya Kyerwa.

Akizungumza katika mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amesema haridhishwi na utendaji kazi wa Mkandarasi wa Kampuni ya JAMTA Costruction Investiment Ltd Vumwe Jeneral Service and Supplies Co. Ltd. inayotekeleza miradi mikubwa miwili ya maji katika Wilaya ya Kyerwa ambayo ni Nkwenda, Runyinya Chanya utakaohudumia kata tatu za Nkwenda, Rwabwere na Iteera pamoja na mradi wa Kaisho Isingiro.

“kinachoonekana hapa ni changamoto ya mkandarasi kutucheleweshea sisi kazi yetu ya kupata huduma kwa wananchi… kama mradi wa Kaisho Isingiro ni wa siku nyingi lakini tukisikiza historia sioni kama anania ya kututekelezea huu mradi. Kwa sababu msimamizi ni BUWASA, niseme sasa RUWASA wasiliana na BUWASA lakini pia na Mkandarasi aje ofisini kwangu,” Amesema Mhe. Msofe.

Kwa upande Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amesema Wanakyerwa wanaungana na Mkuu wa Wilaya kwa kutokuwa na imani na Mkandarasi huyo kwani wananchi hawana maji na kumtaka Menaja wa RUWASA Wilaya ya Kyerwa Eng. Shukrani Tungaraza kuchukua hatua za kuacha naye.

Akichangia hoja hiyo, Diwani wa Kata ya Nyakantuntu Mhe. Issa Katunzi amesema Mkandarasi wa miradi hiyo Mikubwa ya maji hawafai wananchi wa Kyerwa kwa kukosa uzalendo wa kutekeleza majukumu yake na anatakikwa kukatishwa mkataba na kuwaomba Waheshimiwa Madiwani wengine kuungana ili kutafuta suluhisho la swala hilo.

Akifafanua hoja hiyo Meneja wa RUWASA Eng. Shukrani Tungaraza amesema Mkandarasi huyo hajaongezewa muda na anatakiwa kukatwa asilimia 0.1% kwa muda wa siku mia moja na akishindwa kumaliza mradi huo atakuwa amevunja mkataba huo, na kuwaomba waheshimiwa madiwani kuwa wavumilivu kidogo ili akishindwa kumaliza kwa siku zilizobaki watavunja mkataba.

Kwa upande mwingine baraza hilo limempongeza Mkuu wa Wilaya na Vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri pamoja na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Kusimamia oparesheni ya kuzuia magendo ya kahawa ambayo yamepelekea makusanyo makubwa ya mapato ya ndani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved